Mashtaka kwa kusumbua amani ya mawazo ya mheshimiwa Museveni

Mashtaka kwa kusumbua amani ya mawazo ya mheshimiwa Museveni

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Waheshimiwa wakuu wanapojisahau hadi kufikia kuvumbua makosa kila leo, unaweza kuwa ni mwendelezo ambao si mbaya sana kwani hata pale Zimbabwe ilikuwa pole pole hadi uvumilivu ukawashinda makamanda.

Kwa makosa kama haya ya kusumbua amani za watukuka watakao salimika ni kina haraka haraka na sana sana akina bwana yule na wale wanaonunulika:

Musician arrested for 'disturbing' Museveni's peace
 
dini yangu inaniasa kuheshimu mwenye mamlaka na mwenye pesa, kilichowatuma kutunga manyimbo yanayoleta ukakasi kinawagharimu
 
Tanzanians arrested for disturbing uchwara and causing extreme frustrations to uchwara.


Waheshimiwa wakuu wanapojisahau hadi kufikia kuvumbua makosa kila leo, unaweza kuwa ni mwendelezo ambao si mbaya sana kwani hata pale Zimbabwe ilikuwa pole pole hadi uvumilivu ukawashinda makamanda.

Kwa makosa kama haya ya kusumbua amani za watukuka watakao salimika ni kina haraka haraka na sana sana akina bwana yule na wale wanaonunulika:

Musician arrested for 'disturbing' Museveni's peace
 
Back
Top Bottom