Mashudu ya Alizeti

Mashudu ya Alizeti

Iniho

Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
97
Reaction score
68
Habari Wana JF,

Naomba msaada wa kujua namna gani naweza kupata Mashudu mazuri ya Alizeti kwa Bei nzuri.

Na pia soko lake zaidi hapa Dar es salaam kwa Wenye viwanda wanaotengeza .chakula cha Mifugo.

Nahitaji kujua pia kwa hawa wenye viwanda wanahitaji mashudu ya aina gani hasa,Mimi ni mgeni kwenye hii biashara natamani kujua zaidi.

Natanguliza shukrani.Ahsanteni.Ningefurahi na kupata mawasiliano pia.
 
Habari Wana JF,

Naomba msaada wa kujua namna gani naweza kupata Mashudu mazuri ya Alizeti kwa Bei nzuri.

Na pia soko lake zaidi hapa Dar es salaam kwa Wenye viwanda wanaotengeza .chakula cha Mifugo.

Nahitaji kujua pia kwa hawa wenye viwanda wanahitaji mashudu ya aina gani hasa,Mimi ni mgeni kwenye hii biashara natamani kujua zaidi.

Natanguliza shukrani.Ahsanteni.Ningefurahi na kupata mawasiliano pia.
Mashudu meusi yapo yanapatikana wingi hapa hapa kiwandani tunapatikana mwanza namikoani pia tunatuma namba 0718203661
 
Ninayo mashudu ya alizeti nauza kuanzia tani 1 napatikana shinyanga kwa bei ya 480,000
 
Nipo Songea Tani moja nitakuuzia kwa 400,000/= mashudu meusi.
 
Du inaona Bei inazidi kushuka tu[emoji16][emoji16][emoji16]

Ashindwe mwenyewe sasa...
 
Back
Top Bottom