Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Vijana wa Mashujaa FC wamepanda daraja msimu ujao.
Wamenikumbusha enzi za RTC Kigoma wakati huo ikiwa na golikipa Patrick Mwangata ambaye baadae alienda Simba, winga Sanifu Lazaro Tingisha na mshambuliaji Makumbi Juma Homa ya jiji.
Wamenikumbusha enzi za RTC Kigoma wakati huo ikiwa na golikipa Patrick Mwangata ambaye baadae alienda Simba, winga Sanifu Lazaro Tingisha na mshambuliaji Makumbi Juma Homa ya jiji.