Mashujaa FC yanasa saini ya Adam Adam

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291


Aliyekuwa Kiungo Mshambuliaji wa timu ya Ihefu ya Ubaruku mkoani Mbeya Adam Adam aangukia mikononi mwa Mashujaa FC wa Kigoma.

Adam Adam alijiunga na Ihefu January 2023 na sasa ni mali ya Mashujaa waliopanda daraja msimu huu kutoka Championship baada ya kuwashusha daraja Mbeya City katika mchezo wa mtoano.
 
Waangalie.

Mashujaa Wana timu nzuri sana.

KIKUBWA ni kuwa MAKINI SANA na usajili wao .

Wasije wakaingiza MAMLUKI na magarasa.
 
Waangalie.

Mashujaa Wana timu nzuri sana.

KIKUBWA ni kuwa MAKINI SANA na usajili wao .

Wasije wakaingiza MAMLUKI na magarasa.
Wameshaanza kuingiza magarasa kama ya ile timu inayokatisha tamaa tajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…