Mashujaa katika Serikali ya Awamu ya Tano waliokataa kuwa watumwa na vibaraka

Mashujaa katika Serikali ya Awamu ya Tano waliokataa kuwa watumwa na vibaraka

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
195975554_1404981259859407_4895603746193004218_n.jpg
171343029_3350750441692333_6047597023732956543_n.jpg
15590437_1072968112814162_7586160586764892628_n.jpg

Habari za usiku wanabodi,

Leo nimetafakari sana kuhusu Shujaa wa kizamani na jinsi legacy yake inavyozungumziwa kwa muktadha wa Uzalendo kwa taifa. Lekini kauli au neno la "Shujaa/Hero" maana yake ndogo ni "anaweza kukabili jambo lolote kwa ujasiri, bila kuzuiwa na woga. ".

Katika awamu ya tano tuliona Unafiki mkubwa na kujipendekeza kwa viongozi wa taasisi mbalimbali ili kulinda "ugali wao" kwa kauli mbiu ya uzalendo. Hili lilitokana na uwoga wa kutumbuliwa, kuchukuliwa hatua hivyo kuacha fikra za mwenyekiti zidumu. Lakini katika mazingira yeyote hata ya ukoloni kwa mfano kuna watu waliattempt kutokuwa watumwa au vibaraka japo hawakushinda vita lakini wali-attempt ku-resist kuburuzwa huko ndo maana mpaka leo tunawaimba kina Mtemi Isike, Abushiri wa Pangani, Chifu Mkwawa na kadhalika.

Hivyo basi katika kutambua uwepo wa awamu ya tano iliyojaa element zote za "Authoritarian Leadership", Hatuna budi kuwakumbuka Mashujaa wetu walioamua kutokwa wanafiki japo walikuwa ni watumishi wa tasisi mbalimbali, raia au wafanyabiashara wenye maslahi lakin hawakujali hilo na kuwa na misimamo ya kuattempt kutoburuzwa nwala kuogopa mkono wa Chuma.

Wengine walisacrifice ajira zao, mali zao na hata maisha yao. Hawa ndo Mashujaa wa kweli katika awamu ya 5. Mmi nimewakumbuka hawa.. Tulioweka kumbukumbu tunaweza kuwaleta wengine.

Kazi na iendelee
 
View attachment 1810881
Mwanakondoo ameshinda Tumfuate..!

Huyu alikamatwa kabisa na kuachiwa na dola akasema ataendelea kufunga na kuomba, Siku 30 baadaye Mwendazake akatwaliwa.
Askofu alikamatwa wiki ya mwisho ya mwezi Februari. Mapolisi wa Jiwe wakamdhihaki eti " Yule anayejiita Askofu" tunamhoji. Niliposikia vile nikajua sasa Magufuli ame cross red line. Hakumaliza wiki mbili tena.

Magufuli alidhani ana deal na maaskofu feki akina Gwajima, Lwakatale, Gamanywa na akina Pengo. Alikosea njia.
 
Msiwasahau Maxence Mubyazi Mello na Mushi wa Jamii Forum; wakiungana na KEYBOARD WARRIORS wa JamiiForums!
Nadhani nayo inabidi iwe Jamuhuri kabisa.

Kama vile wale mashujaa wa Jamuhuri ya Twitter
 
Askofu alikamatwa wiki ya mwisho ya mwezi Februari. Mapolisi wa Jiwe wakamdhihaki eti " Yule anayejiita Askofu" tunamhoji. Niliposikia vile nikajua sasa Magufuli ame cross red line. Hakumaliza wiki mbili tena.

Magufuli alidhani ana deal na maaskofu feki akina Gwajima, Lwakatale, Gamanywa na akina Pengo. Alikosea njia.
Huyi alisimikwa wakfu nadhani kule Bunda. Ile ilikuwa ni dhihaka kabisa toka kwa Lazaro na Baba yake.
 
Askofu alikamatwa wiki ya mwisho ya mwezi Februari. Mapolisi wa Jiwe wakamdhihaki eti " Yule anayejiita Askofu" tunamhoji. Niliposikia vile nikajua sasa Magufuli ame cross red line. Hakumaliza wiki mbili tena.

Magufuli alidhani ana deal na maaskofu feki akina Gwajima, Lwakatale, Gamanywa na akina Pengo. Alikosea njia.
Gamanywa sio feki mkuu
 
Bagonza na Mwamakula ndio watumishi pekee wa Mungu hapa Tanzania, bila kumsahau Sheikh Ponda.

Wengine wooooote ni wapiga dili na wachumbia tumbo.
 
Amefariki Askofu maarufu Nigeria sio ajabu JPM kufa.

Hoja ni dhaifu inayojaribu kulinganisha kifo cha mtu na hawa wanaharakati ambao wengi wao ni madalali tu wa wenye pesa zao kimataifa.

Mtu mwenye miaka 61 mwenye tatizo la moyo la zaidi ya miaka 10 lenye kujulikana alifanya mengi sana ya maana kulinganisha na haya madai ya wanaharakati wenye kujiona wao ndio Tanzania.
 
Wote ni waongo wanaotumiwa na kila mmoja alikuja na uongo wake wa kuzua taharuki mfano daktari mmoja alidanganya igonjwa wa dengue kitu ambacho sii cha kweli
Comments za SukumaGang utazijua tu!🤣
 
Wote ni waongo wanaotumiwa na kila mmoja alikuja na uongo wake wa kuzua taharuki mfano daktari mmoja alidanganya igonjwa wa dengue kitu ambacho sii cha kweli
Dr Mwere alisema Tanzania ina virusi vya Zika ambavyo tangu alipotumuliwa hatujaviskia tena na siyo tanzania tu bali Afrika yote. Wakati anatangza hivyo, Zika ilikuwa South Amerika, kwa hiyo kueleza ilivyoruka kutoka South Amarika na kutua kwenye Lab ya Dr. Mwere hadi kumpa significant sample at least 95% confidence interval ilikuwa ni ajabu sana.

Prof Assad ni opportunist tu; alitumia vibaya ofisi yake kuwa kama vile ni informant wa ACT-Wazalendo hata kwa data za kupikwa tu. Akasema serikali ilitakiwa inunue ndege kwa mkopo kuliko kununua taslimu; mtu wa ajabu sana huyu.

Huyo mwingine sijui yeye ialikutwa na kadhia gani.
 
Back
Top Bottom