Mashujaa mmepanda daraja lakini huu ushamba mliionyesha Mbeya hatutaki kuuona ligi kuu

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Soka mmecheza vizuri, mmeshinda Mechi ya ugenini dakika ya 87. Mnashangilia goli mnampiga kocha wa Mbeya City ngumi!! Hii Mechi refa akiivunja hapa kwamba Mbeya city hawana kocha kwenye benchi na maamuzi yakaja tofauti mtamlaumu Nani?
Huu upuuzi, ushamba uliopitiliza mlioonyesha Leo hauvumiliki Kwa jumuia ya wastaarabu.
 
Ooohhhhh mtoto wa Ujiji yule anataka ubunge sanaaaaaa

Nakumbuka mwakalebela nae akiwa katibu mkuu TFF alipoenda kugombea iringa alimwaga pesa hatari, kumbe ukatibu mkuu tff hua unapesa asee,
 
Nani zaidi ya Edibily Jonas Lunyamila?
Hata Suleiman Matola"Veron"aujui katoka mkoa gani?,Je'Nteze John"Rungu"?

Makumbi Juma"homa ya jiji"hukupata kumsikia?,,Wilfred Kidau nae humjui?.

Kuna mtu anaitwa Said Sued"Scud"👈huyu sasa hivi ni Sheikh pale Tabora.
Khalid Bitebo na wengine wapo wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…