Mashujaa wa kweli Tanzania hawakumuogopa Hayati Dkt. Magufuli

Namkubali sana TAL.
 
Kama Magufuli angekwenda Mossad na FBI ili kujua mimi ni nani basi nasema alistahili kufa. He was a sinister...
 
Kulikuwa na vita Tanzania; Watanzania wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake; nae hakushinda, wala mahali pake hapakuonekana tena Tanzania.

Yule joka akatupwa hata kuzimu, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani. Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa amani, na haki, na umoja katika Tanzania.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hivi roho ya kumtoa mtu uhai unaitoa wapi?..kisa tu mtu anakukosoa upumbavu wako unaoufanya!!

TLissu ni namba nyingine..huyu ni shujaa aisee
 
Jamaa alikuwa shetani ktk umbo la mwanadamu. Yule wa Adam na Hawa alikuwa katika umbo la nyoka.
Hivi roho ya kumtoa mtu uhai unaitoa wapi?..kisa tu mtu anakukosoa upumbavu wako unaoufanya!!

TLissu ni namba nyingine..huyu ni shujaa aisee
 
wajukuu zetu watakapofika vyuoni watakuja kumtumia mwendazake kama sample au subject katika maandishi yao ya kitaaluma.

hakika yule hakuwa binadamu wa kawaida, ni shetani.

keep resting in hell jpm.
chunga kaul zako, ushetan wake ukowapi?? una ushahid na hayo maujinga yako
 
Waoga na w
Waoga na wenye kujinyekeza kwa watawala kwaajili ya matumbo yao hukumu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto.
=> Tukipata watu hata elfu moja wenye kujielewa na kusimamia imani yao nzuri kwa ustawi wa taiga letu,hakika mama Tanzania atakuwa mbele mno kimaendeleo.
 
Kuna ndugu yangu ngosha mwenzangu PASCAL MAYALA yeye alipotishwa tuu from day one alipouliza swali akaambiwa kuwa 'anasumbuliwa na njaa kama tafasri ya jina lake' akanywea kabisaa akabadilika kuwa mtu wa kusifia tuu.Huyu jamaa ni mzuri sana kichwani ila Serikali hawajataka kumtumia ila siku wakiamua kumtumia , matokeo mazuri watayaona.He is mentally very smart ila uoga tu ndo unamharibia.
 
Dr. Helen Kijo-Bisimba
Zitto Kabwe
Jenerali Ulimwengu
Freeman Mbowe
Godbless Lema
Professor Abdallah Safari
 
Angalau sisi tuko nyuma ya keyboard...
Kabisa, ila tukumbuke kwamba Maxence Melo kateswa sana na utawala uliopita. Alikua anashinda mahakamani kututetea na hizi FAKE ID, sirikali ilikua inataka ijue ni akina nani wanainanga hapa JF na kuweka document zake ambao ni CLASSIFIED. Amesimama kidete sana.
 
Kuhusu Pascal Mayala huyu mwana JF mwenzetu, wala usiwe na wasi wasi.. kamwe haiwezi kufika 2025 bila kupewa teuzi. Kwa sasa anatafutiwa sehem sahihi itakayomfaa kulingana na CV yake.
 
Je, Rais Mama Samia ni Chadema

Source : Bishop Augustine Mpemba
 
Unamkubali Kiongozi kwa Lipi Hasa ?


Unamkubali kwa haki au ni sababu ya zege na lami. Wengi sasa wanababaika wakisikia neno haki, katika kipindi hiki wanataharuki kama wameona shetani. Wakati haki ni kitu kizuri kinaleta Amani, furaha na kisha neema inafuta kwani Maendeleo ya Watu yatapatikana katika utulivu.
Source: Bishop Augustine Mpemba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…