Mashujaa walionyongwa na mjerumani vita ya majimaji 1905

Hima Himaaaaaaaaaaaa......... TANZANIA. Wapumzike kwa amani
 
Hapo ni Songea.

Najua mkuu, lakini ni kwa wapi/maeneo yapi!? Maana mimi nakumbuka kaburi la pale jumba la makubusho kwa nyuma, na jingine barabara inayoenda songea club(japo sijui ni nani walizikwa) hebu nisaidie mkuu.. Miaka zaidi ya mitatu sijagusa huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…