Mashushushu kazini kuua waandishi?

KWENU WAKUBWA BINTI MREMBO WA KIAFRIKA HATAKI KUSEMA AMEJUAJE KUWA SHY HATAKIWI....!
IS SHE NOT AMONG THEM....! HALAFU ANATUSANIFU TU?

Hii haikuwa mada ya thread na posting hii. Nadhani ana haki ya kukataa maana amegundua hoja ya mashushushu imetupwa watu wakaanza kumjadili yeye. Hii nayo inaonyesha viwango vya seriousness ya baadhi yetu hapa JF!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…