Hapana labda baadaeWewe huna ushauri au msaada wowote?
Hapo humtakii mema.Karibu kwetu Kwa Mtogole
Lunch karibiaLunch je?
Legend..This Rain ni Lockdown by default tu, we tafuta movie zako za Mijegejo anza kuangalia
Wakija wale wa bahat mbaya uko wap? Nije? Usilaze Damu ataondoka Tuesday Morning ukiwa unaenda Kazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu kwetu..Naona wewe tumeelewana
Mkuu unawatamani wanaume wenzio..?Kwa baridi hili nawatamani walio oa...
Karibu kwetu Kwa Mtogole
Sijajua maana mimi nimejikarantin nna week nje sipajuiMto Ng'ombe haujafurika?
Akikujibu nitag nije kuona jibu lakeKwanini mkuu?
nenda Golden Palm Ubungo Maziwa pale,Masika imeanza, mvua inanyesha tangu jana mfululizo usiku kucha hadi dakika hii bado inanyesha.
Shemeji yenu kaenda kwao kwa ajili ya Pasaka maisha yamekuwa magumu sana. Tupeane mbinu mbadala kuepuka upweke na mvua hizi