Safi sana, muwache kuleta magari yaliokwisha tupwa na wenzetu.
Tena wangefanya miaka 5 tu kwa magari yote. Hii ya miaka minane bado ina walakin.
Mwongo mkubwa wewe ajuza, assessment atafanyia nyumbani kwako ili kuwahi July 1?
We kula kulala mambo ya kuagiza magari na wewe wapi na wapi...
wangefanya kama kenya, no uchakavu ni kwamba haiingia kabisa ikizidi miaka 8
Mwongo mkubwa wewe ajuza, assessment atafanyia nyumbani kwako ili kuwahi July 1?
We kula kulala mambo ya kuagiza magari na wewe wapi na wapi...
Safi sana, muwache kuleta magari yaliokwisha tupwa na wenzetu.
Tena wangefanya miaka 5 tu kwa magari yote. Hii ya miaka minane bado ina walakin.
Sister Faiza mbona unawabagua wenye kipato kidogo ? Miaka mitano huoni kama utawakosesha wengi haki ya kumiliki chombo ? Tuna maendeleo gani ya kujivunia hadi tuweke benchmark ya juu hivo ? Watu wanunue gari ya ghali kwa kuendeshea barabara zipi tulizonazo ? I can guarantee you FF gari mpya iliyonunuliwa Tz kwa wakala ikatembea 50,000 km kwa miaka 2 hali ilokuwa nayo ni imechoka kuliko gari ya miaka 8 iloenda 140,000 km in Japan, hata hiyo miaka 10 ilowekwa awali haikustahili, kwa uduni wa barabara zetu, mafuta ya kuchakachuwa, spare parts feki, hatuna vifaa vya kisasa vya kutengeneza magari ya kisasa, nadhani hata magari ya miaka 25 yakiagizwa ndio sawa, M/Benz ya mwaka 2008 tu Dar nzima watu wanashindwa ku diagnose tatizo dogo tu...eti mpaka lipelekwe Nairobi..oil filter ya Lexus 2011 eti mpaka iagizwe toka Dubai !! Jamaa ana VX ya 2012 anashindwa kuendesha, kisa gari ina ping, diagnostic machine inamwambia fuel used too low quality..
Sister Faiza mbona unawabagua wenye kipato kidogo ? Miaka mitano huoni kama utawakosesha wengi haki ya kumiliki chombo ? Tuna maendeleo gani ya kujivunia hadi tuweke benchmark ya juu hivo ? Watu wanunue gari ya ghali kwa kuendeshea barabara zipi tulizonazo ? I can guarantee you FF gari mpya iliyonunuliwa Tz kwa wakala ikatembea 50,000 km kwa miaka 2 hali ilokuwa nayo ni imechoka kuliko gari ya miaka 8 iloenda 140,000 km in Japan, hata hiyo miaka 10 ilowekwa awali haikustahili, kwa uduni wa barabara zetu, mafuta ya kuchakachuwa, spare parts feki, hatuna vifaa vya kisasa vya kutengeneza magari ya kisasa, nadhani hata magari ya miaka 25 yakiagizwa ndio sawa, M/Benz ya mwaka 2008 tu Dar nzima watu wanashindwa ku diagnose tatizo dogo tu...eti mpaka lipelekwe Nairobi..oil filter ya Lexus 2011 eti mpaka iagizwe toka Dubai !! Jamaa ana VX ya 2012 anashindwa kuendesha, kisa gari ina ping, diagnostic machine inamwambia fuel used too low quality..
Jaman, naomba mniekeweshe vizur, maana nilikua field huko maporin, na gar nilioagiza inafika july 20. Ni ya mwaka 2005
There is no way atathibitisha unless apate assessment before 1st July ambayo kama ina arrive 14th july haiwezekan kupatikana so kiukweli hana jinsi ni kujipanga tu kuumia na kodi mpya
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sheria za customs hazizungumzii BL date bali the day assessed I mean the day goods were arrived. Cahecking the BL date and what if the vessel did not reach at the destination for instance it sank utasemaje kwa hilo.BILL OF LADING date!!
Mimi nahitaj ist toka japan nina m8 nitapata?daah pole sana mkuu.
Ila kwa mtu yeyote ambaye anahitaji kuagiza gari nje. Tafadhali tuwasiliane. Iwe ngo au private. Its better ukakutana na mtu akakupa maelekezo mazuri na namna ya kuingiza gari na shipping line gani uzitumie.
Mkuu ngoja tusubiri majadiliano kuanzia kesho, sijui kama hii kitu itapita tena! Hata mwaka jana ilikwamishwa na wabunge machachari! Ngoja tuwasikilize tena! Ni ujinga mtupu hii serikali!
Ukithibitisha kuwa umeagiza kabla utaratibu mpya haujatangazwa utahesabiwa kama ilivyo sasa.
Safi sana, muwache kuleta magari yaliokwisha tupwa na wenzetu.
Tena wangefanya miaka 5 tu kwa magari yote. Hii ya miaka minane bado ina walakin.
Mkuu ngoja tusubiri majadiliano kuanzia kesho, sijui kama hii kitu itapita tena! Hata mwaka jana ilikwamishwa na wabunge machachari! Ngoja tuwasikilize tena! Ni ujinga mtupu hii serikali!
Nadhani ndio njia pekee alonayo kwa sasa. Nje ya hapo asikilizie maumivu maana Tz walalahoi ndo walipa kodi wakubwa.
Sorry hivi anaweza kuassess bila manifest ya shipping line sio???
Siamini kama kweli miaka miwili iliyorudishwa nyuma kama kweli itapunguza ajali au kupunguza KIMSINGI hewa ukaa.
Kwa bahati.mbaya wakati mwingine hii.hutumika kama njia ya kufanya magari yanunuliwe na watu wachache ili pia yasiwe mengi na hatimaye pia kupunguza foleni. Lakini jambo hili lina ukakas kwa kuwa walengwa ni wakaz wa jiji la Dar es Salaam, hapo ni kuwanyima fursa wakazi wa mikoani ambako magari bado ni machache!
Hapana sijawabagua.
Unajuwa mipango ya kwetu hapa iko kinyume nyume. Ikiwa mtu anaweza kulimbikiza mwaka au miaka miwili akanunuwa gari chakavu, basi huyo huyo anaweza kulimbikiza miaka 10 akanunuwa gari mpya.
Ni wakati muafaka sasa, tukaja na financing companies au bank inayojali wenye kipato kidogo. Unaenda wakala unanunuwa gari mpya unakatwa kidogokidogo kwenye mshahara, mradi iwe na comprehensive, na dhamana ni hiyo hiyo gari. Na makato yako yawe sawa na "depreciation" ya gari. Kila mmoja ataibuka mshindi. Gari likifika miaka 12 au 15 ni lazima liwe scrap au vintage.
Ni mipango tu na wenzetu ndivyo wafanyavyo na sasa wamepata soko la scrap zao (magari ya mitumba) kutuuzia sisi kwa bei poa.
Tukifanya hivyo utaona baada ya muda si mrefu tunafunguwa viwanda vya magari japo kuanzia kwa kuunganisha, bila hivyo hatuendelei ng'oo. Tuwe na mtazamo mpana zaidi ya hapa tulipo.
Chuma tunacho, ni wakati muafaka kianze kutumika kuunda magari badala ya kuagiza mitumba kutoka nje kuwanufaisha wengine.
Nasema ningekuwa mimi, mwisho kuagiza gari chakavu ni miaka mitano. Sasa amuwa, unagiza nje au unanunuwa jipya lililoundwa Tanzania. Ni mipangilio ya kukuza uchumi, kuongeza ajira na kuanza kujitegemea na sio kutegemea.
Tusiwe na ujamaa wa kijinga kama wa Nyerere, kufunga kiwanda cha kuunda matrekta akafunguwa kiwanda cha majembe ya mkono.
Sasa sisi tuuze chuma nje, wenzetu wakatengenezee magari na sisi tuendelee kununuwa mitumba yao? Fikiri!
......Tusiwe na ujamaa wa kijinga kama wa Nyerere, kufunga kiwanda cha kuunda matrekta akafunguwa kiwanda cha majembe ya mkono!......