Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Nimeguswa na unyongecwa huyo dogo.
Mwamba anasubiri kichapo baada ya kurejea nyumbani usiku tena mikono mitupu bila mayai alotumwa
Naomba tumpe ushauri kwani nasisi ni Wazazi
Nimeguswa na unyongecwa huyo dogo.
Mwamba anasubiri kichapo baada ya kurejea nyumbani usiku tena mikono mitupu bila mayai alotumwa
Naomba tumpe ushauri kwani nasisi ni Wazazi