Masikini kijana anasubiri hukumu ya Baba

tuliokulia kienyejini hizo matukio za kula vipigo ilikuwa kawaida sanaaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo kuna mashataka kama matano hivi
1.kuchelewa kurudi
2.hajaoga
3.amengia ndani na viatu
4.hata mchana hakutokea (kwahyo chakula cha mchana alikula wapi)
5. kavaa bukta ya shule kitaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…