[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Jamaa ni njemba balaa halafu linajiita Dogo G !
How?
jamani alikuwa ameenda kwenye harusi ya alikiba wakiwa wanapata breakfast kuna gavana mmoja wa huko mombasa ni mtu wa karibu na kiba akamshuhudia anavyopata tabu kumeza hata chai tu ndo akamshauri kwenda kumuona dokta hapo ndo akajua kwamba anatatizo kubwa sana linalohitaji operation ya harakaMh mombasa? Aisee itakua kapata kwa kunyonywa sana uume maana mombasa si ndo michezo yako yakheee
pengine alimla kweli..yule mamamondi jina la sandra naona linamzuzua sana!Je unajua dogo aliwahi kumtusi mondi kuwa kamla mama yake tena ningekuwa mimi ningempa na kansa ya marinda
Mtoto mrembo huyu haki ya nani vile....sishangai kwa nini kalowea Mombasa.....nami namkarimu aje Duga Maforoni aje ale sehewa,akitaka chaza pia apewa....
ndo umeandika nini ,kwa hiyo walomla mamako nao wajitangaze,afu mtu akiwa kigagula ttizo liko wapi kwakopengine alimla kweli..yule mamamondi jina la sandra naona linamzuzua sana!
afu inasemekana ni vigagula ajabu wale!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine wataokolewa ni kama kwa moto ...Watu tunamtukuza shetani tukiwa wazima yakitupata tunamkimbilia Mungu. Hii sio fair kabisaaa.
kama hujui nimeandika nini mpaka unaniuliza tena.. sasa wewe umejibu nini??ndo umeandika nini ,kwa hiyo walomla mamako nao wajitangaze,afu mtu akiwa kigagula ttizo liko wapi kwako
dah Mungu atamuafu !...Leo asubuhi nimepata taarifa kuwa hali yake imebadilika na amerejeshwa hospitali.
Tumwombee Mungu amuafu.