Masikini private school maana da!

Sheko

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
280
Reaction score
26
Nazionea huruma private school kukosa wanafunzi watakao jiunga na kidato cha tano kwa mwaka 2013 kutokana na matokeo yalivyo maana hizo goverment school ndo hivyo je hizo private school sijui itakuwaje
 
Reactions: Ctr
Ni kweli kutakuwa na changamoto hiyo.Janga la kitaifa.Mbali na hayo mkuu,fanya uhariri kwenye baadhi ya maneno hapo juu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…