Masikini UKAWA

''hakuna mipaka katika kutafuta haki na msingi wa kuisaka haki ni msimamo imara na dhamira ya dhati''
 
Bila UKAWA hakuna katiba mpya kamwe! Ccm kwa ufisadi hawajambo, wametupa kando maoni ya wananchi halafu wanajadili katiba ya kutoka lumumba! Waliobaki dodoma ni mainterahamwe wakiendelea kutuibia watanzania 300000 kwa siku pesa ambayo ingeboresha miundo mbinu vijijini! Nape umepoteza dira sana baada ya kuanza kulamba viatu vya mafisadi!
 
Nachukia majibu ya matusi,jibuni hoja kwa hoja,matusi yanaakisi uhalisia wa wasomi wetu Tanzania,sio wote tuko hivyo.Tubadilike sasa.Ni ushauri tuu.UKAWA ni kaa la moto kwa ccm.wanatakiwa kulitambua hilo.ndio maana Mh Six anahaha kuwarudisha bungeni.
 

- Childish!!

Le Mutuz System
 
Tunapozungumzia wananchi tunamaana gani? Maana kinachoonekana hapa Mwananchi ni yule tu anayetaka serikali 3!!! Hivi wnachama nawapenzi wa CCM, CHADEMA,TLP, CUF, CHAUSTA n.k. hawa wakitoa mawazo yao si wananchi? tunawawea ktk kundi gani? Ni kama vile katiba hii haiwahusu.!!!
 
Hawa ukawa tushawajua sana hawana jipya tena la kutueleza wakalale nyumbani kwao huku mitaani hata wasitie mguu kabisa.

Huna lolote wewe. Nenda kalale tu. Ukawa ndio watetezi na ndio majasiri. Hao sisiemu wamebakia wanafiki tu na wao ndio wameishiwa hoja na wanaishi kwa matumaini sasa.:beer:
 
Sasa Kama we we nape na wenzako mnaweza kutunga katiba kwa nini mmemtuma sita aendezZanzibar kuzungumza name ukawa? Mngekaa mtunge katiba wenyewe tuone Kama mtafanikiwa
Unafiki ndiyo unao wasumbua ccm wote.
 
Bila UKAWA hakuna katiba ya Wananchi. Hii ni katiba ya CCM ikishirikiana na CCM wenzao kutoka 201 kama Kingunge kutoka kundi la Waganga na Wachawi, Askofu Mtetemelwa, na Oluoch

Hamna katiba hapa, ni kikundi cha taarabu wamekaa chini ya mwembe wana piga zumari. Badala ya kujadili katiba wanajadili UKAWA. Poor Ccm.
 

- Katiba inakuja bila Ukawa Chadema hwataamini kinachokuja wamezoea kuwadanganya watu sasa ngoja na wao wadanganywe ndio watajifunza, CCM tunajua siku nyingi sana toka walipoamua kwamba watajitoa kwenye mchakato wala sio siri kama wanavyofikiri, ila katiba itafanyiwa marekebisho bila wao hili wala halina mjadala, ila wangekuwa wastaarabu kidogo wakarudisha posho walizochukua za mpaka Tarehe 30/4/2014

Le Mutuz System
 
Kinana na Nape wanazunguka nchi nzima kunadi Serikali mbili. Ukawa wanajibiwa na polisi eti hali ya usalama sio nzuri. Poli CCM at work
 
Tatizo hujajielewa bado.
 

Mtu mzima ww , Acha uongo wa kitoto. Ndio ulichojifunzia huko majuu?? Acha kushuhudia uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…