Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Viongozi kumbukeni "karma"..nimefedheheka sana yaani Wazee wanatimuliwa kwenye eneo waliloishi miongo kadhaa na masikini wengine wanajengewa ukuta ili kuficha hali halisi ya eneo.
Kumbe kuwa masikini ni uchafuzi wa mazingira aisee...daaah..Nimekumbuka maadui watatu tena ingawa nilikuwa sitaki kuwakumbuka.
Thamani ya Mtu imekuwa vitu na siyo utu.Aisee...umasikini haufai kabisa...
Kumbe kuwa masikini ni uchafuzi wa mazingira aisee...daaah..Nimekumbuka maadui watatu tena ingawa nilikuwa sitaki kuwakumbuka.
Thamani ya Mtu imekuwa vitu na siyo utu.Aisee...umasikini haufai kabisa...