Masikini Wema Sepetu, Kakumbwa na Balaa Jingine tena!!

yaani huyu dada, kaamua maisha yake pia kuyafanyia maigizo mhhh, yaan haishi skendo, mikasa na vituko duhh,
jana kapata valangati huko ndani ya gari yake, sifa zooootteeee, mbwembwe kibao mara Dubai, gari, shopping, kumbe by mume wa mtu, sasa jana sifa NA majigambo zilitaka mtokea puani, nimemkubali sana huyo mke halali, ila sijui huyu kidume atakuwa nani mhhhhh...
 
 
nimeitoa kwenye blog ya bellina mgeni na sijaongeza wala kupunguza kitu wakuu.natumai mmenielewa na unaweza tembelea hiyo blog
 
what happened arifu??? alifumaniwa? akifanya uroda ndani ya gari?
 

Watu bwana,baada yakujiombea wenyewe ili wafanikiwe kazi kufuatilia maisha ya watu.
 
Movie inaendelea, Wema ni nouuum kwa kweli!!
 
Hapa si mahala pa kujadili maisha binafsi ya Wema! Peleka kule kwenye jukwaa la nanii
 
Sasa pole kwa wema ya nini, kwanini anatembea na wame za watu...., anataka anze kupigwa mawe kabisa njiani nini. mi nampa pole huyo mama. na wema akome hiyo tabia ya kutembea na waume za watu.
 
Tupe jina la pededjee
Papaaa mukuru kuru mutoto wa totozi raisi wa kinondoni......
pasco nakuona hapo chini...please tupe wasifu wa huyo padejee kama unavyomuona anamiliki vogue...lazima mtakuwa mmewahikukutana sehemu za bungeni na new africa..
 
safi sana, uibe mume wa mtu, uende pub ya mkewe ule na rafiki zako eti mume aje alipe, bado gari ulilopewa la huyo mama safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kuna watu hawajui kula na kipofu

na kuna mijanaume miji-nga kweli kweli..
 
Rich Oil Sheikh..... hulazimishwi kusikiliza, hakuna aliyekushikia bastola kuwa lazima usikilize.......
 
akome kupenda vya bura
mwanamke gani huna staha
halafu hana akili, ukila na kipofu usimshike mkono
tena huyo mke angemtegua ugoko ndo wema angekoma....
 
Na mimi namtafuta Wema nimle. Yaani machiz kibao wakoingiza nyavu afu mimi bado. Haki ya nani lazima nimle.! Sikubali azeeke na utamu wake kabla sijampitia. Jaman mwenye contacts zake anishushie hapa.
 
Papason hili ni jukwaa la hoja na habari mchanganyiko...... kama umeona huna mpango na habari fulani, zipotezee tu hutapungukiwa na kitu...... fuatilia zile unazoona zina mashiko kwako. Kila mtu yuko huru kufanya maamuzi yake, umeelewa ndugu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…