Masikini wengi huwa na chuki na matajiri, ukianza kupata chochote hama sehemu za hohehahe, Mbowe aliwanyanyua, leo wanamsimanga kwa kuwanyanyua

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hii ndio tabia ya masikini, hawapendi watu wenye kipato, badala wawapende ili waonyeshwe njia.

Mbowe alikaa katikati ya kundi hilo, akatoa fedha, magari na kila kitu awanyanyue.

Lahaula, wakanyanyuka, wakaanza kumvurumishia matusi, kashfa na kila kitu.

Ushauri: ukiwa na hela keep the money for yourself. Hata wazungu walikaa oyersterbay hawakuwa wajinga. Hata umoja wa mataifa kututoa security Council sio wajinga.

Masikini hana dhamana wala kiapo

Cc: Dotto Magari
 
Mbowe na Pesa zake za kugeuza wananchama kama sehem ya kujipatia kipato.

Kuna ubaya gan akiitumia hiyo Pesa Kwa Mwanachama?.


Mbowe Hana uwezo wa kumuinua mtu , Bali MTU Kwa Uwezo wake kichwan, ndio unaomuinua.
 
Mbowe na Pesa zake za kugeuza wananchama kama sehem ya kujipatia kipato.

Kuna ubaya gan akiitumia hiyo Pesa Kwa Mwanachama?.


Mbowe Hana uwezo wa kumuinua mtu , Bali MTU Kwa Uwezo wake kichwan, ndio unaomuinua.
Masikini hana kiapo
 
Tajiri ni Aziz aliyempa Mbowe TSH 250m za kuchaguliwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kweli kabisa, wanachadema waliompa Mbowe ulaji saivi anawaona hawana maana
 
Kwahy unataka mbowe alambwe mat@co ili iwe shukrani kwa hao aliowasaidia?
 
Waswahili wasema ni bora umfadhili mbuzi utakunywa mchuzi kuliko kumfadhili binadamu utaamulia ushuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…