Masikio kutokusikia kwa sababu ya dawa za quinine

Mnyatu

New Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4
Reaction score
0
Ndugu zangu Habari! Wataalam naomba tena msaada wenu juu ya tatizo moja ambalo linamkabiri kaka yangu ambaye ana umri wa miaka 40 lakini hivi karibuni aligundulika kuwa ni HIV +. Lakini sasa inakaribia mwezi mmoja toka amekunywa dawa ya Quinine na masikio yake hayasikii kabisa (Yameziba). Sasa ni dawa gani ambayo tunaweza kumpatia ili kuweka sawa hali masikio yake? Msaada tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…