Masikio kuziba na kusikia sauti kama ngoma

Masikio kuziba na kusikia sauti kama ngoma

LIFE HELP

Senior Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
149
Reaction score
71
Wakuu wana JF, Madaktairi naomba msaada wenu wa tatizo langu la masikio kuziba na kuachia hasa napopatwa na mafua pia usiku, yana toa sauti kama ngoma iliyopigwa.

Nilipewa dawa ya kupuliza puani kwa mwezi mzima lakini sijaona tofauti yeyyote, napomba ushauri wenu hayana maumivu makali yakizidi sana baadae hupoa yenyewe.
 
Back
Top Bottom