juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
Atumie nn sasa ? hujaeleza mbadala wa iyo Pamba.Acha kutumia pamba kusafisha masikio, hzo pamba ni hatari sana kwa masikio
Unapakaa juu juu au unaingiza kidogo ndani kwenye tundu la sikio kaka Mshans jr:Tumia kitunguu saumu ponda/saga kisha paka kidogo
Ndani kidogo sanaUnapakaa juu juu au unaingiza kidogo ndani kwenye tundu la sikio kaka Mshans jr:
Shukran kaka,Ndani kidogo sana
Mshana ar u serious?Tumia kitunguu saumu ponda/saga kisha paka kidogo
Yes I mean it..!Mshana ar u serious?
Sometimes ule unaosema ww ni uchafu uwa ndio kilainishi cha ngoma ya sikio, sasa unapoisafisha kila mara unaitoa hiyo na kuacha sikio likiwa dry then matatizo yanaongezeka badala ya kupungua.Kama heading inavojieleza hapo juu[emoji115].masikio tangu huwa yananiwasha mara kwa mara,nikifikicha na pamba au kidole huwa kunatoka vitu kama nta iliyogandia na kukauka.sasa sijajua tatizo ni nini?? Kuhusu suala la usafi kiukweli najitahidi sana.nasafisha kila mara na maji ,ila uchafu hauishi na ni kama ni bakteria fulani hivi maana nikifikicha huwa kunatoka harufu mbaya sana na huwa hizo nta au pumbapumba haziishi,,nifanyeje??