Masingle mother mjue hili

Masingle mother mjue hili

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ,.
Kazii iendelee,?
Turudi kwenye topic yetu,...
Uzao wa abraham wa kwanza aliambiwa na Mungu apate mtoto basi wakajaribu na sara ikashindikana . Mpaka sara akaamua, kumleta kijakazi wake awazalie mtoto, ila baada ya uzao yule mtoto hakudhaminiwa na mtoto wake.

Ilihali ni wakiume waliamuriwa wafukuzwe,nyumbani kwa abraham,..
Kuna hili.
Kuna waliong'ang'ania wanaume za watu , walioko kwenye ndoa akapewa mimba,au mwanaume asiyempenda na anafosi penzi tu akaipata mimba.
Kuna huyu alilazimishwa tu au walitamaniana wakapeana mimba inaitwa starehe,...
Kingine,

Amri ya Sita
Tuliambiwa tusiivunjee, ili tusiingie kwenye majaribu ya kulea mimba za watu .

Hakuna,faida yakuzaa mtoto mwenyewe unapomtimizia kila kitu ipo siku atapeleka fadhila kwa baba yake hata kama alimtelekeza.

Nawewe ndio ulimtunza kwa gharama zote,. Na ukute faida ataipeleka upande wa baba yake.

Kwanini nimeamua kuandika hili ni kwa,sababu huwezi tunza damu za,watu nazije kusaidia upande uliomtelekeza.
Kwani kuna kuomba msamaha nakusamehewa.

Ni bora walio bakia msikimbilie kupata watoto nje . Ni balaa.
GOod yale.
 
Back
Top Bottom