simba songea
JF-Expert Member
- Feb 8, 2016
- 1,498
- 1,216
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha aha ha ha
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Lugalo na uhasibu pale nadhani hutojutia mpaka suruali utapataWapi jamani nitapata duka linalouza tshirt zile zenye mabaka ya kijeshi kwa dar nazipenda sana
Nataka dukaLugalo na uhasibu pale nadhani hutojutia mpaka suruali utapata
Ndio yapo maduka humo ndaniNataka duka
Lugalo niende nirushwe vichuraadi nikome hapana mkuuNdio yapo maduka humo ndani
Haupo serious na hitaji lako kijanaLugalo niende nirushwe vichuraadi nikome hapana mkuu
Sa unaniambia niende lugalo ile si kambi ya jeshi yani sawa sawa na useme niende kuiba kituo cha polisiHaupo serious na hitaji lako kijana