Maskini Abas: Si serikali inayaona haya??????????????

wende

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2009
Posts
714
Reaction score
66
Du,sorry apo nimechemka! Nimesahau kuweka taarifa yake.
 

Attachments

  • abasi%202.jpg
    14.7 KB · Views: 83
  • abas%20uvimbe.jpg
    14.2 KB · Views: 59
I think story ipo ktk gazeti la mwananchi la jumamosi iliyopita. Inasikitisha sana
 
Jamani hivi watu kama hawa serikali haiwezi kuibgilia kati kuwapa msaada wa matibabu? Pesa za posho na kuwapeleka wabunge Ulaya na Malaysia kufanya mambo ya kifisadi zipo lakini za kuwasaidia watu wasiojiweza hazipo? Hapa mtu unaweza kujuta kwa nini ulizaliwa kwenye nchi hii. WanaJF tuanzishe kampeni ya mchango wa kumsaidia binadamu huyu halafu tunadike petition ya kuilaani serikali ikibidi tuipeleke Ofisi ya UN, AU na balozi za nchi wafadhili (!!!!). Kuna na mtoto mwingine hapo Keko alipigwa risasi na polisi sasa anaoza na kufa akijiona kwa sababu ya kukosa msaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…