Maskini Azam!!

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
Walijiita majina kibao Mara wanamapinduzi ya soka,sijui ooh wao Levo yao ni tp mazembe Na alahly,walipochukua kikombe cha ligi kuu ndo matusi yakazidi nikamsikia kiongozi wao akidai watachukua ubingwa Wa ligi kuu miaka nane mfurulizo kwamba timu zingine ni za vichochoroni......haya sasa mmchukua nafasi ya simba kuwa "wamchangani" Na hats levo za kimataifa mechi ya kwanza tu nje
 
Hii timu ilshajifia sema financially tu ndo iko hai
 
Wapiga dili wamejazana huko wanatafuna hela za mzee Bakhresa kama hawana akili nzuri.
 
We blaza nilikumisi niaje...
 
Mess amepotelea huko alipata jeuri sasa anakula ukoko....
Arudi simba aombe msamaha...!!
 
Azam imeathiriwa na ugonjwa wa usimba na uyanga. Haiwezi tena,labda viongozi watoke nje ya Nchi.
 
Maneno ya mashabiki ukiyatilia maanani utachanganyikiwa.
 
Azam wanaanza kupoteana, john bocco huyo nasikia anasepa
 
Stewart ndio alikuwa anaijulia azam...sasa hivi inaleta wachezaji wabovu watu wanapiga deal tu
 
Azam imeathiriwa na ugonjwa wa usimba na uyanga. Haiwezi tena,labda viongozi watoke nje ya Nchi.

Nakumbuka walijaribu kuleta kocha mspain na benchi lote lakini ikashindikana
 


Bora Azam wana malengo ila si Simba wala Yanga......toka uhuru kuna kijitimu kinajiita cha kimataifa. Cha kushangaza hakuna cha maana wanachokifanya, ni kusindikiza tu kila mwaka. This is what you call 'PATHETIC.'
 
Bora Azam wana malengo ila si Simba wala Yanga......toka uhuru kuna kijitimu kinajiita cha kimataifa. Cha kushangaza hakuna cha maana wanachokifanya, ni kusindikiza tu kila mwaka. This is what you call 'PATHETIC.'
Azam wanamalengo gani,Azam inaendeshwa na ss bakressa, zaidi ya hapo Azam haina kipato ndugu
 
Azam wanamalengo gani,Azam inaendeshwa na ss bakressa, zaidi ya hapo Azam haina kipato ndugu


Azam ni matajiri wenye pesa na hawategemei kuomba kwa wafadhili. Yanga na Simba kama timu tu, ni hasara tupu. Hazina pesa hata kidogo, wao wanategemea wafadhili tu. Wao ni sawa na timu za mchangani yet wanajiita ndizo timu zenye pesa ila hawana kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…