Maskini Azam!!

Wanakuambia ni timu nzuri kweli kwenye ukanda wa Africa mashariki kwa namna ilivyo na facilities za kufundishia mpira. Ila issue watu walipewa nafasi ya kusimamia, wale wahispania walitaka kutoa machozi walivyo kuwa wanaondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…