Naona limeshakuwa janga la Kitaifa njemba hazitaki kuoa siku hizi bali kula uroda tu halafu zinasepa, siyo kama ilivyokuwa enzi Wazazi wetu.
hili jukwaa lishaingia kurusi
Sijaamini kwamba mwenyezisasa utaolewaje wakati ushajiona wewe ni "maskini wa Mungu"?
badilisha mtazamo na ujue kwa Mungu hakuna umaskini bali ni baraka tele.
ukiamini katika ujazo wa baraka za Mwenyezi Mungu hakika utanyeshewa baraka na
mume mwema utampata.
pole sana then unatakiwa utulie usilazimishe atakuja mwenyewe mana ukifanya haraka utatembea na kilamtu mwisho wasiku itaitwa changu
kuna wakati najipa moyoRelax dear na uache kujihukumu, nafahamu kuwa na ndoa ni kuzuri bt is not the only source of happiness kwenye hii dunia. Take it easy na utaona mambo yakijiseti yenyewe. In the mean time jifurahie na jithamini wewe mwenyewe kwanza.
Niko nafanya kazi kuna wakati hili swala lilinichanganya hadi nikaona bora niache kazi kwanza kwasababu wenzangu waliolewa nikabaki pekeyangu maswali yakawa mengi kwanini huolewi kwanini huolewi sio mabosi sio wafanyakazi sio wateja kumbe mwenzao najisikia vibaya naumiaPole mama,wewe uko mkoa upi? Unajishughulisha nanini? Pengine kama huna kitu kinacho kufanya usitoke eneo lako chukua muda wakuwa unatembelea ndugu na jamaa zako,au kama uko free hama makazi yako for temporaly.
chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.
duuuh hii dozi c ya kitoto unataka kumuua dada yetu nini?chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.
sijisikii kuishi bila mume kabisa wala sitamani haya maisha ninayoishiWatu weng wanakata taa haswa ktk swala hili but y? Huku nikukosa akili nakufikiri tumezaliwa lazima kuowa ama kuolewa. Huwo ni urongo. Maisha yaweza kuwa tofaut na lamsing ni kumshukuru Mungu. Maana hata wanandoa hawazitak ndoa zao!
siko hivyo kaka mie wa kawaida kabisa sina mashauzi , siringi wala sijisikii, siendagi kwenye starehe wala pombe sio mnywaji, nakubalika sana kwenye jamii tatizo ni hilo tuu siolewi sijui nimemkosea nini mwenyezi mungu najuuta
...fanya yoote. Lakini usije jaribu kulazimisha ndoa ya fasta fasta ili 'uonekane' umeolewa. nawafahamu akina dada lukuki wanaolia, waliotoka, na walioangamia na ndoa za KUONEKANA. Maisha si ndoa, badili mtazamo.