Unaweza pishana na ex wako wala msitambuane...
Au wale wazee wa mizinga kila ukikutana nao unapishana nao bila wao kujua...
Achilia mbali wale wakiongea mate yanawatoka .. angalau now ukivaa masks uko safe
Hizi masks zina faida nyingi..
Pia zinaondoa ile hali yakupenda kutafuna tafuna ovyo kama mahindi,karanga,machungwa n.k...Unaweza pishana na ex wako wala msitambuane...
Au wale wazee wa mizinga kila ukikutana nao unapishana nao bila wao kujua...
Achilia mbali wale wakiongea mate yanawatoka .. angalau now ukivaa masks uko safe
Hizi masks zina faida nyingi..
Unajikuta nani sijui hapo mwenyewe πSiku mbili hizi natembea nimevaa mask,miwani na kofia,nikijumlisha na jeans yangu iliyochanika chanika najiona kama niko kwenye movie
Hapo najikuta stelingi πUnajikuta nani sijui hapo mwenyewe π
hahahahahahhaHADI NIMEIKUMBUKA ILE MOVIE YA the mask
Siku mbili hizi natembea nimevaa mask,miwani na kofia,nikijumlisha na jeans yangu iliyochanika chanika najiona kama niko kwenye movie
Asiwe wa bongo movie tu.πHapo najikuta stelingi π