[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku mbili hizi natembea nimevaa mask,miwani na kofia,nikijumlisha na jeans yangu iliyochanika chanika najiona kama niko kwenye movie
Sijukukujua kwasababu sikujui
Hollywood moja 🤣Asiwe wa bongo movie tu.😀
Very true ..kutakua na kutopoteza mda mitaaniJana dereva wa daladala alikuwa analalamika eti hizi barakoa zitafanya tupishane tu na wake zetu humu njiani....anaazima dera kwa dada yake anapiga parakoa yake utamjua saa ngapi
KabisaUnawa enjoy wale unaowajua lakini hawajakutambua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chizi wewe
😅 hapo sawaa!Hollywood moja 🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu uchizi nashindwa kuuacha [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Naacha kuanzia sasa 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya kuuacha tuu
huo mtihani.Very true ..kutakua na kutopoteza mda mitaani
Hata watongozaji watapata shida..
Huwezi tongoza mtu hujamuona vizuri labda ex wako je?
HallelujahNaacha kuanzia sasa [emoji23]