Maslahi, mishahara duni kwa Polisi chanzo cha rushwa na dhuluma

Maslahi, mishahara duni kwa Polisi chanzo cha rushwa na dhuluma

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam.

Nimefanya utafiti mdogo kujua kwanini police wanakula rushwa na kudhulumu raia nikagundua ni mishahara duni wanayolipwa na serikali sikivu ya ccm. Police walishaua wafanyabiasha wa madini kutoka mahenge na kuwadhulumu pesa na madini kisha kutangaza wameua majambazi.

Dhuluma na uonevu wa jeshi la police imezidi mpaka imefikia kuchukiwa na raia kwa kiasi kikubwa mpaka kupelekea kulipizana visasi.

Tuombe sana mungu wasijetokea kina hamza wengine na kulipiza kisasi kwa kuwaua police maana ni raia wengi sana wameumizwa na police na kuporwa mali na fedha na kupambikiwa kesi.

Hitimisho: police wetu wamegeuka watumishi wa ccm kwa kulipwa mishahara duni, ni vema police warudi kwenye miiko ya sheria zao na kuwatumikia wananchi wote na sio chama cha mapinduzi kama ilivyo leo.
 
Walituzulumu madini ya milioni 40.

Wakataka rushwa tukawapa laki 4 pesa wakachukua na madini wakachukua pia.

Uwe na vibali usiwe na vibali watakutafutia sababu Ili wayapore madini yako.

Hizi dhuluma thus wanakufa vibaya.

Chukua kidogo mwachie na mwenzio apate pa kuanzia.

Sio wewe tu ndo una shida na pesa.Wengi wanadhulumiwa mali zao,

Wengine umuachia Mungu, wengine uenda kuloga,hii staili ya hamza ni mpya.

Sisi tulimuachia Ilikuwa ni Itigi mwezi wa december 2020.
Waliotuzulumu kama mtapita humu badilikeni tafuteni ya halali.
 
Wasalaam.

Nimefanya utafiti mdogo kujua kwanini police wanakula rushwa na kudhulumu raia nikagundua ni mishahara duni wanayolipwa na serikali sikivu ya CCM. Polisi walishaua wafanyabiasha wa madini kutoka Mahenge na kuwadhulumu pesa na madini kisha kutangaza wameua majambazi.

Dhuluma na uonevu wa jeshi la Polisi imezidi mpaka imefikia kuchukiwa na raia kwa kiasi kikubwa mpaka kupelekea kulipizana visasi. Tuombe sana mungu wasijetokea kina Hamza wengine na kulipiza kisasi kwa kuwaua Polisi maana ni raia wengi sana wameumizwa na Polisi na kuporwa mali na fedha na kupambikiwa kesi.
Kada nyingi hapa bongo Zina vipato duni,Waalimu,walinzi,bodaboda,nk,wasilete visingizio,polisi ni kama mbwa
 
Wasalaam.

Nimefanya utafiti mdogo kujua kwanini police wanakula rushwa na kudhulumu raia nikagundua ni mishahara duni wanayolipwa na serikali sikivu ya CCM. Polisi walishaua wafanyabiasha wa madini kutoka Mahenge na kuwadhulumu pesa na madini kisha kutangaza wameua majambazi.

Dhuluma na uonevu wa jeshi la Polisi imezidi mpaka imefikia kuchukiwa na raia kwa kiasi kikubwa mpaka kupelekea kulipizana visasi. Tuombe sana mungu wasijetokea kina Hamza wengine na kulipiza kisasi kwa kuwaua Polisi maana ni raia wengi sana wameumizwa na Polisi na kuporwa mali na fedha na kupambikiwa kesi.
Mbona JWTZ wanalipwa kidogo lakini hawachukui rushwa? hii inatokana na mfumo mbovu
 
Polisi wa Tz wamezidi kuwamisha wananchi wanaoangaika na maisha kujipatia riziki. Ukitaka kudhibitisha hili angalia trafic wanavyosimamisha magali yenye mizigo.
 
Juzi mama alisema huenda polisi wanazunguka mbuyu(kuchukua hela ya kiwi) kwasababu ya njaa.Polisi wana njaa hiyo inafahamika.wanahatarisha maisha kwa 300k ila binafsi naomba njaa iendelee kuwakumba polisi ili wajue sisiemu hawana tofauti na punda.[emoji1]
 
Mshahara wao naweza kusema unawatosha kabisa ila wanaishi zaidi ya kipato chao. Na hakuna mtu ambaye pesa huwa inamtosha. Over.
 
Anayeona mshahara hautoshi aachie ngazi Kuna maelfu ya vijana wako tayari hawana kazi wanataka kuingia kwa mshahara huo huo uliopo
Hata hao waliajiriwa kwa mishahara hiyo hiyo wakabadilika.kwahiyo ata watakao ajiriwa nao watabadilika.Ni askari wachache sana wanaoweza kuvumilia kulala njaa wakati wanajua kua tu nahiyo kazi ni pesa tosha.
 
Back
Top Bottom