Maslahi ya Maprofesa yapoje?

Maslahi ya Maprofesa yapoje?

Mapropesa wanakula kwa urefu wa kamba zao siasani, kwa mfano Prof. Kabudi, Prof. Kitila na Prof. Janabi

Maprofessor Matajiri hasa Tanzania hii ni wanne tu:

1) Professor Maji Marefu
2) Professor J
3) Professor Lipumba
4) Professor Ndumilakuwili

Wengine ni kujiita tu.
 
Back
Top Bottom