and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Mbali na mishahara minono (paid in major strong currencies USD, GBP, CAD),
1. Kulipiwa nyumba, sehemu za hadhi ya juu
2. Ada za watoto kwenye shule za kimataifa
3. Tiketi za ndege daraja la Kwanza/business (biashara).
4. Kubadilishiwa fenicha za ndani kila mwaka.
5. Msamaha wa Kodi wanunuapo magari.
Nini maslahi zaidi ya hawa wanadiplomasia wetu wapendwa huko ughaibuni?
Je, wananufaisha nchi kibiashara/fursa au maslahi yote hayo yanaenda bure?
BCC: Polepole, Togolani, Dr Possi, Dr Bana etc.
1. Kulipiwa nyumba, sehemu za hadhi ya juu
2. Ada za watoto kwenye shule za kimataifa
3. Tiketi za ndege daraja la Kwanza/business (biashara).
4. Kubadilishiwa fenicha za ndani kila mwaka.
5. Msamaha wa Kodi wanunuapo magari.
Nini maslahi zaidi ya hawa wanadiplomasia wetu wapendwa huko ughaibuni?
Je, wananufaisha nchi kibiashara/fursa au maslahi yote hayo yanaenda bure?
BCC: Polepole, Togolani, Dr Possi, Dr Bana etc.