Ndio nani?Corozan ndo top
Mshana,Hivi shepu nzuri ni kuwa na matako makubwa tepetepe? Na kufanyiwa kabisa mashindano? Utu wa mwanamke uko wapi hapa?staha zake kama binadamu tinaziweka wapi?
Kwanini wanawake wenyewe baadhi yao wanakuwa ndio kichokoo cha haya yote?
Mwanamke shepu babueeeee kama sura hata mbuzi anayo!!.....upo hapo babu???!!Hivi shepu nzuri ni kuwa na matako makubwa tepetepe? Na kufanyiwa kabisa mashindano? Utu wa mwanamke uko wapi hapa?staha zake kama binadamu tinaziweka wapi?
Kwanini wanawake wenyewe baadhi yao wanakuwa ndio kichokoo cha haya yote?
Mkenya uyoNdio nani?
Ahsante mkuu hata sikuwa namjua!ndio Huyo Wana Muita Verasidika?Mkenya uyo
Nipo nipo hapa sawa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mwanamke shepu babueeeee kama sura hata mbuzi anayo!!.....upo hapo babu???!!
Vera na hyo tofauti najaribu kukuwekea pic nashndwa sijui zinakataaAhsante mkuu hata sikuwa namjua!ndio Huyo Wana Muita Verasidika?
Naona kaputula cha mtotoMshana,
Sasa hivi tupo katika ulimwengu uliovaa kaptula.
Kila MTU anataka kuacha legacy yake.
Aisee weka unitoe tongo tongo tafadhaliVera na hyo tofauti najaribu kukuwekea pic nashndwa sijui zinakataa
vera sidika ni mkali zaid ya masogange mara bilion mbili
Vera ana sura nzito Mungu nisamehe na shape lake limezidi had linapoteza uhalia anakuwa ka wakuçhonga.Ahsante mkuu hata sikuwa namjua!ndio Huyo Wana Muita Verasidika?