Masogange na Dogo janja wafumwa katika mapenzi mazito

Dogo Janja kawa bitoz nakumbuka alikuwa na chogo na zile tantalila alikuwaga burudani sana. Maisha yakimbia speed ya formular one!
 
Heheheee Maso alipotea sana kwenye media sasa naona anatafuta KIK kwa watoto.......
Endelea tu mana ushachezaga game nyingi naona sasa amepata pa kustaafia
 
Hapo utasikia anataka kutoa mahariπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…