Masoko Kuungua ni Uzembe wa Mamlaka

Masoko Kuungua ni Uzembe wa Mamlaka

Ghost MVP

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2022
Posts
439
Reaction score
736
Miundombinu ya masoko, na maduka mengi, au maeneo mengi ya biashara haijakaa vizuri, hawajawahi kabisa kufikiria hili, alafu mwisho wa siku wanalaumu Jeshi la Zima moto, na gari zenyewe za kutafuta kwa Tochi.

Nchi za wenzetu kuna System wanaitumia hata katika mitaa ya makazi ya watu, wanaita "Fire Hydrats" hizi zinasaidia kukabiliana na Moto kwa haraka bila kujali kuishiwa maji, ila hapa Kwetu hakuna na ikiwepo, watu wa maji watatuacha salama kwel, au ndo wanaweza yakata pia.
hydrant.png


Mamlaka izingatie miundombinu mizuri katika sehemu hizi

Pole watu wa moshi, na wafanya biashara wa Soko la Mbuguni. Huu ni uzembe wa Mamlaka
 
Miundombinu ya masoko, na maduka mengi, au maeneo mengi ya biashara haijakaa vizuri, hawajawahi kabisa kufikiria hili, alafu mwisho wa siku wanalaumu Jeshi la Zima moto, na gari zenyewe za kutafuta kwa Tochi.

Nchi za wenzetu kuna System wanaitumia hata katika mitaa ya makazi ya watu, wanaita "Fire Hydrats" hizi zinasaidia kukabiliana na Moto kwa haraka bila kujali kuishiwa maji, ila hapa Kwetu hakuna na ikiwepo, watu wa maji watatuacha salama kwel, au ndo wanaweza yakata pia.

Mamlaka izingatie miundombinu mizuri katika sehemu hizi

Pole watu wa moshi, na wafanya biashara wa Soko la Mbuguni. Huu ni uzembe wa Mamlaka
Kuna kitu zaidi ya huo uzembe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom