Masoko ya hisa ya Marekani yapoteza karibu Dola 1.2 Trilioni kwa ujio wa DeepSeek, Makampuni makubwa ya AI yaanza kuhaha

Masoko ya hisa ya Marekani yapoteza karibu Dola 1.2 Trilioni kwa ujio wa DeepSeek, Makampuni makubwa ya AI yaanza kuhaha

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
NASDAQ na S&P 500 ndio masoko ya hisa pendwa zaidi kwa makampuni ya teknolojia ya Marekani na nje ya Marekani

Makampuni kama NVIDIA (Marekani) designer wa AI GPU, TSML (Taiwan) watengenezaji wa chips za 3nm na 5nm kwa ajili ya AI, ASML (Nerthelands) watengenezaji wa EUV lithography machine for chip manufacturing ni miongoni mwa makampuni yaliyo registered NASDAQ na S&P 500.

Na mengine ni Alphabet, Amazon, Apple, Meta Platforms, Microsoft, Tesla n.k

Siku 5 zilizopita DeepSeek walizindua rasmi AI ambayo ni bora kuliko zile za Marekani na mataifa mengine. Matokeo ni kwamba hilo limechangia kushuka kwa hisa za makampuni ya teknolojia ya AI katika soko la hisa la NASDAQ na S&P 500

Hisa za NVIDIA zimeshuka kwa 13.19% ambayo ni sawa na kupoteza $ 450 billion. Makampuni mengine ya teknolojia ya NASDAQ yameshuhudia kuporomoka kwa hisa zao mfano AVGO (-13.15%), TSML (-11.97%), ASML (-6.11%)

20250127_235732.jpg

Kwa ujumla ndani ya masaa kadhaa tu NASDAQ na S&P 500 wamepoteza karibu $1.2 trillion kwa sababu ya ujio wa Mchina DeepSeek


Mpaka sasa DeepSeek imeipita ChatGPT kwa kupakuliwa zaidi na watumiaji wa vifaa vya Apple kwenye App Store.
'DeepSeek is an excellent AI advancement and a perfect example of Test Time Scaling. DeepSeek’s work illustrates how new models can be created using that technique, leveraging widely-available models and compute that is fully export control compliant.'
— NVIDIA statement on DeepSeek

Unapozungumzia Silicon Valley nchini Marekani unazungumzia eneo lililopo Northern California ni global center for high tech na innovation, mmoja wa wawekezaji na bilionea wa Silicon Valley naye katoa ya moyoni kuhusu DeepSeek
"DeepSeek's model is one of the most amazing and impressive breakthroughs I have ever seen, and as open source, a profound gift to the world."
— Marc Andreessen (American billionaire and Silicon Valley investor)

Mapema mwezi January refugeess wa TikTok nchini Marekani walihamia Xiaohongshu (RedNote), na sasa wanahamia DeepSeek kutoka ChagGTP.

The past month has been really tough for those anti China fellows. Heartbreaking!

 
KIBALRAKA WA CHINA UNATUMIA NGIVU NYINGI SANA
NASDAQ na S&P 500 ndio masoko ya hisa pendwa zaidi kwa makampuni ya teknolojia ya Marekani na nje ya Marekani

Makampuni kama NVIDIA (Marekani) designer wa AI GPU, TSML (Taiwan) watengenezaji wa chips za 3nm na 5nm kwa ajili ya AI, ASML (Nerthelands) watengenezaji wa EUV lithography machine for chip manufacturing ni miongoni mwa makampuni yaliyo registered NASDAQ na S&P 500.

Na mengine ni Alphabet, Amazon, Apple, Meta Platforms, Microsoft, Tesla n.k

Siku 5 zilizopita DeepSeek walizindua rasmi AI ambayo ni bora kuliko zile za Marekani na mataifa mengine. Matokeo ni kwamba hilo limechangia kushuka kwa hisa za makampuni ya teknolojia ya AI katika soko la hisa la NASDAQ na S&P 500

Hisa za NVIDIA zimeshuka kwa 13.19% ambayo ni sawa na kupoteza $ 450 billion. Makampuni mengine ya teknolojia ya NASDAQ yameshuhudia kuporomoka kwa hisa zao mfano AVGO (-13.15%), TSML (-11.97%), ASML (-6.11%)

View attachment 3215914
Kwa ujumla ndani ya masaa kadhaa tu NASDAQ na S&P 500 wamepoteza karibu $1.2 trillion kwa sababu ya ujio wa Mchina DeepSeek

Mpaka sasa DeepSeek imeipita ChatGPT kwa kupakuliwa zaidi na watumiaji wa vifaa vya Apple kwenye App Store.
'DeepSeek is an excellent AI advancement and a perfect example of Test Time Scaling. DeepSeek’s work illustrates how new models can be created using that technique, leveraging widely-available models and compute that is fully export control compliant.'
— NVIDIA statement on DeepSeek

Unapozungumzia Silicon Valley nchini Marekani unazungumzia eneo lililopo Northern California ni global center for high tech na innovation, moja ya mwekezaji na bilionea wa Silicon Valley naye katoa ya moyoni kuhusu DeepSeek
"DeepSeek's model is 'one of the most amazing and impressive breakthroughs' I have ever seen and as open source, a profound gift to the world."
— Marc Andreessen (American billionaire and Silicon Valley investor)

Mapema mwezi January Mchina alikuja na the sixth generation aircraft, then refugeess wa TikTok nchini Marekani kuhamia Xiaohongshu (RedNote), na sasa DeepSeek.

The past month has been really tough for those anti China fellows. Heartbreaking!

 

Attachments

  • 4E39BD32-AB79-45CF-9BD2-5A208A5FBAAA.png
    4E39BD32-AB79-45CF-9BD2-5A208A5FBAAA.png
    520.8 KB · Views: 5
innovator bado ni US, Chinese are good in copying and modifying
China hafanyi copy and paste kama mnavyosema.

For many decades China ilishawekeza sana kwenye sci-tech, STEM, skilled personnel, na R&D

Na hii imefanya ecosystem ya innovation ya China kuwa ya hali ya juu hata kuyazidi mataifa ya Magharibi

Maendeleo ya kiteknolojia na kisayansi sio an overnight process ni mchakato wa miaka mingi. Kama unaona Mchina anacopy na wewe fanya hvyo tuone

Kuna mengi ya kujifunza kutoka China
 
Sijui chochote kuhusu hizo mambo ulizoorodhesha hapo...
Sasa kama kampuni mbili zinapata hasara ya usd 1.2 trillions, zina mtaji wa usd kiasi gani?
Ni kampuni zaidi ya 2 ambazo mauzo ya hisa zao yameporomoka kwa kasi sana

$1.2 trillion ni jumla ya hasara ilizopata tech companies za AI zilizowekeza kwenye masoko 2 ya hisa ya NASDAQ na S&P 500

Kuhusu mitaji yao unaweza kugoogle ujionee
 
innovator bado ni US, Chinese are good in copying and modifying
Uzuri ni kwamba wao wenyewe Marekani wametikisika, masoko ya hisa yametikisika, hisa za Nvidia zimeshuka kwa 12%, na hisa za makampuni mengine ikiwemo Microsoft. Kwao imekuwa habari kubwa lakini mbongo die hard fan wa U.S anabisha.
Any way ni kwamba Deepseek unaweza kuichukulia kama mwanzo wa computer zilikuwa ni mainframe. Kulikuwa hakuna personal computer maana computer ilikuwa ni kubwa lazima ijae chumba kizima. Sasa models za AI kama chatgpt ni lazima uwekeze pesa nyingi kuwe na data center na ni very expensive kufanya hivyo.
Ila deepseek sasa ni kama personal computer, unaweza kuidownload ukairun locally kwenye PC yako ukiwa na GPU ya kawaida.
Hivyo, pia inaweza kutumika locally kurun dedicated tasks bila kutegemea cloud data centers na hili linaweza kuongeza security kwa makampuni na jambo bora zaidi ni open source. Hivyo hayo masuala ya kwamba iko biased kuhusu china wewe kama developer unaweza kumodify code ukaifanya unavyotaka kwa toleo lako.
Unasema ni copying?
Nadhani hujasikiliza approach waliyoitumia kuitrain ni tofauti kabisa na approach za wengine na ndiyo maana model yao imekuwa cheap. Yani unachokisema hapa ni sawa useme kuwa kwa kuwa Benz alivumbua wazo la gari basi waliobaki wote hakuna walichofanya bali walimcopy Benz.
And mind you, ChatGpt ni closed source same as Gemini, so kacopy wapi na hakuna model yoyote ambayo inafanana na deepseek ambayo hata wewe unawez akuipakua ukairun locally kwa pc yako.
 
Uzuri ni kwamba wao wenyewe Marekani wametikisika, masoko ya hisa yametikisika, hisa za Nvidia zimeshuka kwa 12%, na hisa za makampuni mengine ikiwemo Microsoft. Kwao imekuwa habari kubwa lakini mbongo die hard fan wa U.S anabisha.
Any way ni kwamba Deepseek unaweza kuichukulia kama mwanzo wa computer zilikuwa ni mainframe. Kulikuwa hakuna personal computer maana computer ilikuwa ni kubwa lazima ijae chumba kizima. Sasa models za AI kama chatgpt ni lazima uwekeze pesa nyingi kuwe na data center na ni very expensive kufanya hivyo.
Ila deepseek sasa ni kama personal computer, unaweza kuidownload ukairun locally kwenye PC yako ukiwa na GPU ya kawaida.
Hivyo, pia inaweza kutumika locally kurun dedicated tasks bila kutegemea cloud data centers na hili linaweza kuongeza security kwa makampuni na jambo bora zaidi ni open source. Hivyo hayo masuala ya kwamba iko biased kuhusu china wewe kama developer unaweza kumodify code ukaifanya unavyotaka kwa toleo lako.
Unasema ni copying?
Nadhani hujasikiliza approach waliyoitumia kuitrain ni tofauti kabisa na approach za wengine na ndiyo maana model yao imekuwa cheap. Yani unachokisema hapa ni sawa useme kuwa kwa kuwa Benz alivumbua wazo la gari basi waliobaki wote hakuna walichofanya bali walimcopy Benz.
And mind you, ChatGpt ni closed source same as Gemini, so kacopy wapi na hakuna model yoyote ambayo inafanana na deepseek ambayo hata wewe unawez akuipakua ukairun locally kwa pc yako.
Umesema vyema mkuu
 
Kinachouma zaidi ni kwamba imeanzishwa na mhitimu wa uhandisi ambaye hajawahi kusoma wala kufanya kazi nje ya China.
 
Uzuri ni kwamba wao wenyewe Marekani wametikisika, masoko ya hisa yametikisika, hisa za Nvidia zimeshuka kwa 12%, na hisa za makampuni mengine ikiwemo Microsoft. Kwao imekuwa habari kubwa lakini mbongo die hard fan wa U.S anabisha.
Any way ni kwamba Deepseek unaweza kuichukulia kama mwanzo wa computer zilikuwa ni mainframe. Kulikuwa hakuna personal computer maana computer ilikuwa ni kubwa lazima ijae chumba kizima. Sasa models za AI kama chatgpt ni lazima uwekeze pesa nyingi kuwe na data center na ni very expensive kufanya hivyo.
Ila deepseek sasa ni kama personal computer, unaweza kuidownload ukairun locally kwenye PC yako ukiwa na GPU ya kawaida.
Hivyo, pia inaweza kutumika locally kurun dedicated tasks bila kutegemea cloud data centers na hili linaweza kuongeza security kwa makampuni na jambo bora zaidi ni open source. Hivyo hayo masuala ya kwamba iko biased kuhusu china wewe kama developer unaweza kumodify code ukaifanya unavyotaka kwa toleo lako.
Unasema ni copying?
Nadhani hujasikiliza approach waliyoitumia kuitrain ni tofauti kabisa na approach za wengine na ndiyo maana model yao imekuwa cheap. Yani unachokisema hapa ni sawa useme kuwa kwa kuwa Benz alivumbua wazo la gari basi waliobaki wote hakuna walichofanya bali walimcopy Benz.
And mind you, ChatGpt ni closed source same as Gemini, so kacopy wapi na hakuna model yoyote ambayo inafanana na deepseek ambayo hata wewe unawez akuipakua ukairun locally kwa pc yako.
Ni kipi kilianzishwa na mchina?
 
Ni kipi kilianzishwa na mchina?
Hoja ni kuanzisha au hoja ni ipi mkuu? Maana kuna vitu vingi hakuanzisha mmarekani lakini akaja kuwa pioneer na hakuna aliyehoji hilo. Ngoja nikutajie baadhi.
Rocket engines, magari ni mjerumani.
Hivyo kuanzisha jambo moja, lakini kuiboresha na kuifanya iwe better ni jambo la msingi. Huwezi kumponda Henry Ford kuwa hakufanya lolote kwenye car industry kisa mvumbuzi wa gari ni Benz. Utakuwa ni kichaa tu.
 
Back
Top Bottom