Sifahamu uko wapi ila ni wenye matenga/sokoni, wenye chips, hotel, bar, grocery, institutions kama shule, vyuo, kumbi za ,mikutano sherehe. Wote hawa usichague na ukiwapata wa uhakika wa jumla ni vizuri zaidi maana kutegemea rejareja hawa kuku kama wengi hasara wanakula sana. Kila la heri