Eng.Livingstone
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 880
- 227
First off, wengine "great thinker" kwetu ni tusi. .
Unataka uitwe GREAT KILAZA?
NB: Jibu swali,usikurupuke kuchora Zombie.
Of course a one track mind will always see one direction, ukimwambia siendi Kaskazi, basi anaelewa unaenda kusi.
Hajui kwamba unaweza kuwa unaenda magharibi au mashariki.
Au unazama katika Kaluza-Klein manifold kabisa uondoke kwenye neighborhood.
Huyo Isaac Newton mwenyewe anayesifiwa kwa mengi alikataa kuitwa great thinker.
Does that mean alitaka kuitwa "Great Kilaza"?
Nani anakurupuka hapa sasa?
Si unaona ushakurupuka,umechora zombie sasa NIMEKUULIZA SWALI LA MSINGI wewe umeongelea mengine,kwani nimekuuliza habari za Isaac Newton.
NB: Natoa tena angalizo la kutokuchora Zombie.Ahsante