habar wakuu. wizara ya kilimo kupitia website yao www.kilimo.go.tz wametangaza nafasi za masomo kwa ngazi ya cheti na diploma kwa general agriculture vyuo mbalimbali vya kilimo vya serikali
Marafiki nisaidieni mawazo nimemaliza kidato cha nne 2012 na kupata alama D katika masomo ya biology,history,bookkeeping,commerce,civics na kiswahili nichuo gani nafaa kwenda na kwa fucult ipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.