hassan mudy
Member
- May 18, 2015
- 10
- 1
Habari ndugu zangu.
Shukrani za dhati ziwaendee wale wotewanaofakisha jukwaa hili la Elimu katika nyanja zote ndani ya JF ila ningependa msaadazaidi utolewe pia kwa Elimu ya upili wa juu ili kusaidia kwa wale wanaojifunza kama watahiniwa wakujitegemea pamoja na wale wa mashuleni kama ilivyofanyika kwa masomo ya upili wa chini .
Shukrani za dhati zitangulie kwa walimu wote walio tayari katika hili.
Shukrani za dhati ziwaendee wale wotewanaofakisha jukwaa hili la Elimu katika nyanja zote ndani ya JF ila ningependa msaadazaidi utolewe pia kwa Elimu ya upili wa juu ili kusaidia kwa wale wanaojifunza kama watahiniwa wakujitegemea pamoja na wale wa mashuleni kama ilivyofanyika kwa masomo ya upili wa chini .
Shukrani za dhati zitangulie kwa walimu wote walio tayari katika hili.