Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
Katika shule mbali mbali na sehemu mbali mbali, kumekuwa na matabaka mawili kati ya wasomi wa art na science, huku wanaochukua masomo ya science wanajiona wao ndio bora kuliko wasomi wengine,
leo, naomba tuumalize utata huu, maana masomo yote ikiwemo na mathematic, physics,biology n.k ni art.
Swala la sanaa ni kitu kipana zaidi kukichambua unaweza ukapitia hapa kwa maelezo zaidi
sanaa ni ufundi na utalaam wa kimawazo ulio katika fikira za binadam, fikira hizo zinaambata na shughuli pamoja na uzalishaji wa binadam.
ukijaribu kufuatilia maswala kama fasihi,ususi,uchoraji,ufinyazi n.k utakubaliana na mimi kwamba masomo yote ni sanaa.
karibu sana.
leo, naomba tuumalize utata huu, maana masomo yote ikiwemo na mathematic, physics,biology n.k ni art.
Swala la sanaa ni kitu kipana zaidi kukichambua unaweza ukapitia hapa kwa maelezo zaidi
sanaa ni ufundi na utalaam wa kimawazo ulio katika fikira za binadam, fikira hizo zinaambata na shughuli pamoja na uzalishaji wa binadam.
ukijaribu kufuatilia maswala kama fasihi,ususi,uchoraji,ufinyazi n.k utakubaliana na mimi kwamba masomo yote ni sanaa.
karibu sana.