Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Nasubiri kuona katuni za jamaa akitoka huko selo. Sidhani kama atatoka kipanya,anaweza kutoka kimjusi
 
Kama kwl serikal fanyeni apatikane jaman...does not fear kabisa
 
Na kodi isiwe kisingizio cha kuikosoa Serikali kwenye kila jambo.
Kukosoa serikali ni jambo la kikatiba na huwezi kuiondoa!! Sema nyinyi mngependa watu wamuabudu huyu mtu. Mnasahau hata hesabu ya kura 2015 mlitengeneza kupata percentage. Serikali kukosolewa ni afya
 
Kipanya itabidi aelezee wapi kaipata hilo Bazooka
 
Still wakiambiwa wakatubu wanaleta viroja na vitissho!!

I wish Mwlm Nyerere angekuwa hai na naamini asingekubali mambo ya hovyo yanayoendelea sasa kwq hawa miungu watu!!!

VViongozi wastaafu waliopo wanaogopa kukemea kwani wanajua wataambiwa wanawashwa washwa na hawajui yule jamaa ataamuru wakunwe kwa nyenzo ipi ili wanyamaze!!!
 
Vipi miye niliousoma hapa jf nitakamatwa pia? Hivi huko polisi hakuna wasomi wa sanaa na fasihi? Nijuavyo mimi mbobezi wa fasihi, picha inaweza kuwa na maana nyingi tofauti na perception, mood na feelings za msomaji au mtazamaji! Sasa hako kakibonzo huyo aliyemkamata atamshtaki kwa kosa lipi? Wanasheria tafadhali tuelimishane hapa!
 
Wao clouds kila siku wanatunga nyimbo sijui uzalendo nini.

Acha waone waone 'gharama' za uzalendo kule selo.
Hivi kwa akili yako; kama kuna lolote lililomkuta unadhani linahusiana na kazi yake pale Clouds?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…