Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mara nyingi katuni zinakuwa na taswira ya kicomedian.U have very low IQ
Clouds ni "walamba viatu" vya magogoniSasa kama habari zilikuwa za uongo imekuwaje kwamba aliyesambaza amesaidia? Lazima kuna ukweli hapa
Wambieni polisi waache upumbavu na ujinga
"Aliyetekwa kaachiwa na watekaj"Mchoraji wa katuni Masoud Kipanya anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita kwa tuhuma za uchochezi baada ya kuchora katuni inayoichonganisha serikali na wananchi.
View attachment 665630
UPDATE:
JamiiForums imewasiliana na mwajiri wake (Clouds Media Group) na imehakikishiwa kuwa taarifa hizi zinazosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ni UZUSHI.
Yeye (Kipanya) asema aliyesambaza taarifa hizi "AMESAIDIA"
View attachment 665944
Nimeangalia kwa makini sana hii katuni ni kweli ina uchochezi si kwa wananchi bali kwa serikali ebu angalia mshika kombola la kodi huku nyuma kagonoka afu cha ajabu kamuongezea mshale kwa nyuma directly kuelekea sehemu ambayo sio sahihi.Mchoraji wa katuni Masoud Kipanya amekamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita kwa tuhuma za uchochezi baada ya kuchora katuni inayoichonganisha serikali na wananchi
View attachment 665587
chanzo: Chadema in Blood
Acha unafiki wewe.Jueni kuwa wanaofanya vitendo vya kuudhi wananchi kama utekaji, utesaji kwa kizingizio cha uchochezi ni watu wanaochafua sifa ya Rais wa Tanzania, ni wale waliozoea kula bila kinawa mikono - tenda za ajabuajabu za 40%, wenyekuuza Airtel, waliozoe kifanya mikutano ya bodi Ulaya au Uarabuni, waliozoea kuweka saini mikataba mibovu wakiwa nje ya nchi, sasa wanaona njia zao zimezibwa na zinabanwa na Dr Rais Magufuli. Viongozi wengine ndani ya chama wanajipendekeza ila lengo lao ni kiharibu sifa ya Rais. Watakamatwa tu! Kudos Magufuli.
Acha unafiki wewe.
Kumbe si uchumi tu mpka fani za watu zinatakiwa kufa.
Nilicoment hivyo nikaambiwa nina low IQ.Nimeangalia kwa makini sana hii katuni ni kweli ina uchochezi si kwa wananchi bali kwa serikali ebu angalia mshika kombola la kodi huku nyuma kagonoka afu cha ajabu kamuongezea mshale kwa nyuma directly kuelekea sehemu ambayo sio sahihi.
Aliesema hivyo itakuwa ana mtindioNilicoment hivyo nikaambiwa nina low IQ.
hawawezi kufanya kosa kama hilo. kakobe tu ameshawanyoosha hawana hamu, wanahitaji kufanya kitu kingine ili wananchi wazidi kuwachukia?
Wanauza mafuta yao kwa japanWanaendeshaje serikali yao