Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USSR,Kama kawaida yako udini udini udini tu
USSR
Sheikh Mohamed kusema ukweli mimi sikubariani na falsafa yako ila nakubari sana namna unavyotoa hoja zako always calm bila kujali provocation zinazokuja, naomba kuuliza wewe ni mwanahistoria au mwanahistoria wa kiislam?USSR,
Kwani Abdul Sykes alifutwa kwenye historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika kuondoa udini?
Unataka kusema kuwa kwa Masoud Kipanya kutaka kujua historia ya Abdul Sykes analeta udini?
Hauna nafasi Tanzania. Muda unaendelea kuongea.Kama kawaida yako udini udini udini tu
USSR
Mzee Said, kuwaelimisha hawa vijana wa sasa ambao muda mwingi wanautumia kuangalia tamthilia ya "Saluni ya Mama Kimbo" ni kazi ngumu inayohitaji uvumilivu uliotukuka.USSR,
Kwani Abdul Sykes alifutwa kwenye historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika kuondoa udini?
Unataka kusema kuwa kwa Masoud Kipanya kutaka kujua historia ya Abdul Sykes analeta udini?
HawaaminiHauna nafasi Tanzania. Muda unaendelea kuongea.
Kaya...Sheikh Mohamed kusema ukweli mimi sikubariani na falsafa yako ila nakubari sana namna unavyotoa hoja zako always calm bila kujali provocation zinazokuja, naomba kuuliza wewe ni mwanahistoria au mwanahistoria wa kiislam?
Aro...Mzee side heshima yako
Tanzania udini unakuwa kwenye siasa tu. Huku mtaani sisi sote ni nduguHawaamini
Cliff...Mzee Said, kuwaelimisha hawa vijana wa sasa ambao muda mwingi wanautumia kuangalia tamthilia ya "Saluni ya Mama Kimbo" ni kazi ngumu inayohitaji uvumilivu uliotukuka.
Tangawizi,Tanzania udini unakuwa kwenye siasa tu. Huku mtaani sisi sote ni ndugu
Sishangai, sababu tatizo la maandishi yako sio lako binafsi, ni la kijamii. waweza fikisha mpaka chapa 100. sasa kama unaongeza thamani ya maisha kwa hadhira yako au chuki na manung'uniko, huo ndio msingi wa swali langu.Vola...
Nani wanaoona za "kidinidini?"
Maana kitabu cha Abdul Sykes kinapendwa sana tunakwenda chapa ya nne.
Shark,Hawaamini
Aro...Mzee side heshima yako