AKIONGEA KWENYE KIPINDI KINACHOÖNESHWA NA EATV NA SALAMA JABIL KWENYE KIPINDI CHAKE CHA MKASI.MASOD ANASEMA LICHA YA KUFANYA KAZ KWA MIAKA 9 HUKU AKILAZMIKA KUAMKA MAPEMA ALFAJIRI BADALA YA KWENDA MSIKTIN ALIKWENDA KWENYE KIPINDI HUKU MASILAHI YAKIWA DUNI AKAJAFUKUZWA KAZI KWA SIKU MOJA TENA HUKU KOSA LIKIWA NI LA MAFUNDI MITAMBO.AKIELEZEA KWA MASIKTIKO ANASEMA ALIFUKUZWA KAZI KWA KOSA LISILO LAKE TENA KWA Siku moja!
Maelezo yako yana utata mkubwa sana unamaanisha nini kusema alifukuzwa kwa kosa la mafundi mitambo bila kueleza kosa lenyewe?????
Kama huna data si lazima kupost tread iliyojaa upupu kwenye jukwaa la Great thinkers.
Unabahati nimekujibunsidhani kama kuna mtu atajibu huu upupu wako
Shame on Uuuuuuuu.
Maelezo yako yana utata mkubwa sana unamaanisha nini kusema alifukuzwa kwa kosa la mafundi mitambo bila kueleza kosa lenyewe?????
Kama huna data si lazima kupost tread iliyojaa upupu kwenye jukwaa la Great thinkers.
Unabahati nimekujibunsidhani kama kuna mtu atajibu huu upupu wako
Shame on Uuuuuuuu.
Maelezo yako yana utata mkubwa sana unamaanisha nini kusema alifukuzwa kwa kosa la mafundi mitambo bila kueleza kosa lenyewe?????
Kama huna data si lazima kupost tread iliyojaa upupu kwenye jukwaa la Great thinkers.
Unabahati nimekujibunsidhani kama kuna mtu atajibu huu upupu wako
Shame on Uuuuuuuu.
matope yako kwenye visigino au mpaka ubongoni? sasa kama yeye ame quote alichosema kipanya hizo sababu atatoa wapi kama kipanya hakubainisha vizuri!? na wala si yeye aliekuwa akimhoji!
matope yako kwenye visigino au mpaka ubongoni? sasa kama yeye ame quote alichosema kipanya hizo sababu atatoa wapi kama kipanya hakubainisha vizuri!? na wala si yeye aliekuwa akimhoji!
Maelezo yako yana utata mkubwa sana unamaanisha nini kusema alifukuzwa kwa kosa la mafundi mitambo bila kueleza kosa lenyewe?????
Kama huna data si lazima kupost tread iliyojaa upupu kwenye jukwaa la Great thinkers.
Unabahati nimekujibunsidhani kama kuna mtu atajibu huu upupu wako
Shame on Uuuuuuuu.
Hii ni post yako ya kwanza........Mbona maelezo yako hujayaweka vizuri Fisadi wewe!