Masoud kipanya asimulia jinsi alivyotimuliwa kazi cloudz fm

Nimeckia anaztangaza zipo s0k0n,m0ja ya maeneo ni dukan kwake,millenium TOWERZ
 

Robbinhood,
Asante kwa home work acha nifike home nitakuja na feedback, salama hana kipaji wala ujuzi wa anachokifanya. Ref: bongo star search
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Robin Ni ktk kipindi ambacho kitarushwa leo au ni old one?
 
mkuu Robbin thanks kwa link hii nzuri.

Ila kuhusu Salama nadhan umechukua kipande kidogo sana cha ubovu otherwise kipindi kipo powa kutokana na maudhui yake.

Dont expect serious questions!
 

Mh. Bado umenifanya niwe na hamu kujua sababu. Hapo umeniacha nikiwa naning'inia.
 
All praises (and much more so profits) due to Bi.tch. Made Nigga Killas, J. Kusaga, & Co. May Jesus Christ & Muhammad S.A.W have mercy on thy souls.
 
kamata fursa twenzetu

akajiunge na team anaconda na vinega
 
Huyu jamaa bwana ni zaidi ya kipaji aiseee...
 
Nimesoma huo waraka, mbona kila kitu kipo wazi...kilichotokea hapo ni uwezo mdogo wa KP, kufanya kazi kama timu...na tatizo ni ujuaji uliopitiliza plus na sifa mnazompa ndio zinampoteza....sikatai ana kipaji lakini nakataa kuwa ndio zaidi ya wengine wooote.

Masoud na G Hando wote ni wajuaji "much know" lakni inavyoonekana G hando alitumia falsafa ya akili za kuambiwa jumlisha na za kwako......hizo sababu za kugomea kipindi ni dhaifu sana.

Alichofanya KP ni sawa na kuanza kulaumu na kususa kusukuma gari porini kwa kuwa tu aliwahi kuonya juu ya barabara wanayoenda kupita.......busara ni kusukuma gari kwanza, na tukishafika tunapokusudia unarudia kusema tena ulivyosema kabla ya safari....WAZEE ILE BARABARA HAIFAI.

Uwepo wa Messi au Ronaldo kwenye timu sio sababu ya wao kuwa over all incharge wa kuendesha timu nzima...bado kuna kocha na uongozi mwingine.....ndio maana Tevezi akizengua pamoja na umuhimu wake ndani ya timu anatupiwa virago.

.......yaani kwa kuwa tu baba ninaendesha VW BITO, basi ndio mtoto unagoma kupanda nikupeleke shule mpaka ninunue Prado.....lazima upate kichapo ndio usome ukanunue Prado yako..........SENZI KABISA.
 

Nimeipenda kweli mkuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Bora tu alivyoondoka na kuendelea na fursa alizokamata kwani angefia pale.. Wakati mabosi wake wazamani wanasisitiza kukamata fursa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…