Masoud Kipanya atunukiwa shahada ya heshima kwa Ustahimilivu na athari katika Jamii

Masoud Kipanya atunukiwa shahada ya heshima kwa Ustahimilivu na athari katika Jamii

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni GenC na mtangazaji kutoka Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima inayotambua mchango wake kwenye jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and social impact.
IMG_1329.jpeg

Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of project Management), Jijini Dar es salaam.
IMG_1330.jpeg
 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni GenC na mtangazaji kutoka Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya, ametunukiwa shahada ya heshima inayotambua mchango wake kwenye jamii, ubunifu na ustahimilivu, ambayo inatambulika kama Vanguard Honorary Degree for Creativity, Resilience and social impact.
View attachment 3171292
Ametunukiwa shahada hiyo wakati wa mahafali ya tano ya chuo cha usimamizi wa miradi, ufuatiliaji na uhakiki wa ubora Tanzania TIPM (Tanzania Institute of project Management), Jijini Dar es salaam.View attachment 3171291
This was incredible
 
Hivyo ni vile vyuo viko ghorofa ya saba mkabala na bar flani?
 
Back
Top Bottom