Masoud Kipanya na Fina Mango siwasikii Clouds

Masoud Kipanya na Fina Mango siwasikii Clouds

manSniper

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
814
Reaction score
680
Nimetega sikio toka asubuhi sijawasikia Kipanya na Fina nimesikia tuu sauti za baBra na Fredwaa mtoto wa Sanya juu kwani hawajaanza kazi?

Mnaosikiliza ule upande wa pili vipi PJ na Hando wameanza leo E. Fm maana huku mkoani haifiki.
 
nimetega sikio toka asubuhi sijawasikia kipanya na fina nimesikia tuu sauti za babra na freduwa mtoto wa sanya juu kwan hawajaanza kazi? mnaosikiliza ule upande wa pili vipi pj na hando wameanza leo E. fm? maana huku mkoani haifiki
Labda wana be prepared.
 
efm bado hawajaanza kina PJ ila wataanza anytime....HUko clouds hamna kitu
 
Hata mimi siielewi hii inamaanisha nini ............... inamaana walikuja kwa mkopo tu ile siku ya wajinga au .......... wapumbavu sana hawa mawing.. na kina masou... na fin...
 
Wana Jiandaa kwanza kwani Gadner umemskia??Utangazaji ni maandalizi wajue point za kuongea kulingana redio yao ilivyo si unajua super brand mara 4 mfululizo sio mchezo usifananishe na Iringa Fm.
 
Wana Jiandaa kwanza kwani Gadner umemskia??Utangazaji ni maandalizi wajue point za kuongea kulingana redio yao ilivyo si unajua super brand mara 4 mfululizo sio mchezo usifananishe na Iringa Fm.
Gadner ameanza kusikika jana Mkuu.! Fina Mango na Masoud Kipanya huaga wanaendaga sana Clouds siku wakiwahitaji., kuwasikia April 1, lilikuwa ni jambo la kawaida tu haikumaanisha kwamba wamerudi
 
ila tuseme kweli fredwaa wala hajafit kwenye PB, kile kipindi kitapoteza wasikilizaji wengi na hasa kama kina gerald hando watakuwa na kipindi efm muda mmoja na pb
 
ila tuseme kweli fredwaa wala hajafit kwenye PB, kile kipindi kitapoteza wasikilizaji wengi na hasa kama kina gerald hando watakuwa na kipindi efm muda mmoja na pb

clouds ndiyo kwisha kabisaaaa
 
Ata Gadna mwenyewe ajaeleweka kiivyo naona matangazo tu meeengi.
yaah nadhan ni kwasababu kipindi kimekuwa na watangazaji wengi wenye hadhi moja, wala hajimwagi kama zaman ambapo yeye ndio alikuwa muongoza kipindi kibonde alikuwa anatokea kwenye segment za magazeti na michapo ya michezo,
 
ila tuseme kweli fredwaa wala hajafit kwenye PB, kile kipindi kitapoteza wasikilizaji wengi na hasa kama kina gerald hando watakuwa na kipindi efm muda mmoja na pb
Ashaanza kumpoteza babra pia..... Fredaa anafaa kipindi cha mizaa mizaa tu.
 
Back
Top Bottom