Masoud Kipanya una akili nyingi

Masoud Kipanya una akili nyingi

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Huyu jamaa ana akili nyingi sana.IQ yake si ya kawaida.

FB_IMG_16418188228713895.jpg
 
Kwamba wananchi wanaojielewa wanampatia ALTIMATAMU Bi Mikopo kwamba mwisho wake ni 2025, right?
 
Huyo ni chura aina ya magambalala mwenye makazi yake jalalani ni smart sana hawezi liwa na jogoo licha ya koo kwa urahisi namna iyo.
 
Hiyo picha nimeiona ikichorwa kwa mara ya kwanza mwaka 2007 tukiwa Green Acres A level na jamaa mmoja nimemsahau jina. Hiyo akili unayoisema kubwa sijui ni ipi.
 
Back
Top Bottom